Manchester United yapokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Brighton ligi kuu Uingereza.


Timu ya Manchester United ilipokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa wenyeji wao Brighton,mechi ya ligi kuu uingereza iliyochezwa majira ya saa 4 jana usiku. Goli lililofungwa na Pascal Gross katika dakika ya 57,Na Man United wamesalia na pointi zao 77 huku wakiwa mamecheza michezo 36.


Tazama Msimamo.



Post a Comment

Previous Post Next Post