Wolper Atoa Mpya "Nina Pesa Maalumu ya Kusafiri Ulaya Miaka Miwili"


Muigizaji maarufu nchini, Jacquelin Wolper ambaye kwasasa amejikita kwenye maswala ya ubunifu wa mavazi amefunguka kuwa siku hizi amekuwa mtu wa kusafiri sana nchini za nje mpaka amefikia hatua ya kujitengea bajeti ya miaka miwili kwa ajili ya kusafiri tu na kikubwa anachofata huko ni kujifunza vitu mbalimbali.

Akipiga story na Mwandishi wa Habari Wolper amesema
"Nina Bajeti ya miaka miwili nimejiwekea kwa Ajili ya kusafiri kwenda nje ya nchini kujifunza na nchini hizo ni Singapore, Australia na Paris"

1 Comments

  1. MY HUSBAND LEFT ME FOR NO REASON. I WAS NO LONGER MY SELF AND AT A TIME, I ATTEMPTED TO COMMIT SUICIDE. BUT THANK GOD I CAME ACROSS ROBINSON BUCKLER ONLINE. I READ GOOD REVIEWS ABOUT HIS GOOD WORK AND HOW USEFUL AND HELPFUL HE HAS BEEN TO PEOPLE. I CONTACTED HIM AND TOLD HIM MY PROBLEM. HE TOLD ME THAT MY MAN WILL COME BACK TO ME. HE TOLD ME WHAT TO DO AND I DID IT AND TO MY GREAT SURPRISE MY HUSBAND CAME BACK JUST AS HE SAID. I EVEN NOTICED THAT WHEN MY HUSBAND RETURNED, HE EVEN LOVES ME MORE. THIS IS NOT BRAIN WASHING, CONTACT HIM NOW ON HER EMAIL: ROBINSONBUCKLER@YAHOO.COM ������������WEBSITE https://robinbuckler.com/ WHATSAPP NO. +15024438691




    ReplyDelete
Previous Post Next Post